Vipimo:
- Unga.......................... ..4 Vikombe
- Maziwa ya unga.............2 vijiko vya supu
- Mafuta ya zaituni...........½ kikombe
- Hamira........................ .1 kijiko cha supu
- Chumvi kiasi
- Sukari........................ ..1 kijiko cha chai
- Maji vugu vugu..............2 kikombe